April 2022
Isaya 52:7-10 - 29-04-2022
Matangazo ya Usharika tarehe 24 April 2022
MATANGAZO YA USHARIKA
LEO TAREHE 24 APRIL, 2022
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI KRISTO AJIFUNUA KWETU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia na vyeti.
3. Matoleo ya Tarehe 17/04/2022
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
1 Samweli 9:15-21 - 25-04-2022
Matendo 2:22-28 - 23-04-2022
Yona 2:1-10 - 22-04-2022
1Wakorintho 15:1-11 - 21-04-2022
Marko 16:12-13 - 20-04-2022
Washarika waadhimisha Pasaka 2022
Usharika wa KKKT Kanisa Kuu Azania Front Cathedral umejumuika na wakristo wote ulimwenguni kusherehekea sikukuu ya Pasaka ya mwaka 2022.
Akizungumza katika ibada ya kwanza iliyofanyika Usharikani hapa, Baba Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dk. Alex Gehaz Malasusa alisema sikukuu ya Pasaka ni muhimu sana katika maisha ya mkristo kwani ni kumbukumbu ya kushinda umauti kwa mwokozi wetu Yesu Kristo.
