September 2022
Wazee wa Kanisa na Viongozi wa Vikundi Waingizwa Kazini
Jumapili ya tarehe 18/09/2022 ilifanyika ibada ya kuwaingiza kazini Wazee wa Kanisa pamoja na Viongozi wa Vikundi waliochaguliwa hivi karibuni katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral. Safu mpya ya uongozi itahudumu katika Usharika wa Kanisa Kuu kwa kipindi cha miaka minne (2022-2026).
1 Wafalme 12:20-24 - 29-09-2022
Marko 12:28-34 - 28-09-2022
Matendo 4:13-22 - 27-09-2022
Yohana 12:39-43 - 26-09-2022
Waefeso 5:15-21 - 24-09-2022
6 Wakorintho 9:6-9 - 23-09-2022
2 Samweli 24:18-23 - 22-09-2022
Kutoka 34:21-28 - 21-09-2022
Mithali 3:9-10 - 20-09-2022
Marko 12:13-17 - 19-09-2022
Matangazo ya usharika tarehe 18 Septemba 2022
MATANGAZO YA USHARIKA
LEO TAREHE 18 SEPTEMBA, 2022
NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI
UWAKILI WETU KWA MUNGU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia na vyeti. Matoleo ya Tarehe 11/09/2022
3. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL
