June 2023
Ezra 9:5-9 - 29-06-2023
Warumi 7:4-6 - 28-06-2023
Kumbukumbu la Torati 31:1-5 - 26-06-2023
Isaya 49:14-21 - 24-06-2023
Warumi 12:1-2 - 21-06-2023
Kambi ya Watoto wa Shule ya Jumapili (Sunday School) Yafanyika
Tarehe 14-15/06/2023 ilifanyika kambi ya watoto wa Shule ya Jumapili au Sunday School katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral, ambapo ilifuatiwa na ziara ya watoto hao kutembelea Usharika wa Kitunda ambako pia waliungana na watoto wenzao kujifunza neno la Mungu.
Miongoni mwa mada zilizofundishwa kwa watoto hao ni pamoja na;
Mathayo 14:22-27 - 20-06-2023
Kutoka 16:33-36 - 19-06-2023
Matangazo ya Usharika tarehe 18 Juni 2023
MATANGAZO YA USHARIKA
LEO TAREHE 18 JUNI, 2023
NENO LINALOTUONGOZA NI
MUNGU HUTUNZA KANISA LAKE
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 11/06/2023
4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Namba ya Wakala M-PESA – 5795794 – KKKT AZANIA FRONT CATHEDRAL
