July 2023

Matangazo ya Usharika tarehe 30 Julai 2023

MATANGAZO YA USHARIKA 

TAREHE 30 JULY, 2023

SIKU YA BWANA YA 8 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI 

WEMA WA MUNGU WATUVUTA TUPATE KUTUBU 

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 23/07/2023   

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

Matangazo ya Usharika tarehe 23 Julai 2023

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 23 JULY, 2023

SIKU YA BWANA YA 7 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA NI

UCHAGUZI WA BUSARA 

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 16/07/2023   

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT