August 2023

Matangazo ya Usharika tarehe 27 Agosti 2023

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 27 AGOSTI, 2023

SIKU YA BWANA YA 12 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA  NI

MATUMIZI YA ULIMI

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 20/08/2023  

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT