Mithali 26:27-28 - 29-08-2023
Matumizi ya ulimi./ Heri Buberwa.

MATANGAZO YA USHARIKA TAREHE 27 AGOSTI, 2023
SIKU YA BWANA YA 12 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA NI
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 20/08/2023
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT