January 2025
Luka 8:19-21 - 28-01-2025
1 Yohana 16-18 - 27-01-2025
Matangazo ya Usharika tarehe 26 Januari 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 26 JANUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 3 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO
NENO LINALOTUONGOZA NI
MUNGU HANA UPENDELEO
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia kwa cheti:
3. Matoleo ya Tarehe 19/01/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
2 wafalme 5:1-7 - 25-01-2025
Mwanzo 36:1-6 - 24-01-2025
Yakobo 3:13-18 - 23-01-2025
Luka 8:40-42 - 22-01-2025
2 Samweli 7:27-29 - 21-01-2025
Matangazo ya Usharika tarehe 19 Januari 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 19 JANUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 2 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO
NENO LINALOTUONGOZA NI
MUNGU HUBARIKI NYUMBA ZETU
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna wageni waliotufikia kwa cheti:
3. Matoleo ya Tarehe 12/01/2025
4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
Warumi 10:16-18 - 18-01-2025
Marko 1:4-8 - 17-01-2025
Mathayo 3:13-17 - 13-01-2025
Matangazo ya Usharika tarehe 12 Januari 2025
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 12 JANUARI, 2025
SIKU YA BWANA YA 1 KATIKA MAJIRA YA UFUNUO.
NENO LINALOTUONGOZA NI
WABATIZWAO NI WARITHI WA UZIMA WA MILELE
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Mgeni waliotufikia kwa cheti Joseph Jackson Mutakumwa toka Usharika wa Moshono Arusha.
3. Matoleo ya Tarehe 5/01/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
