Daily Words

The Bible is God’s Word. It was written under the inspiration of the Holy Spirit. .Biblia ni Neno la Mungu. Waandishi wa Biblia hawakuandika mawazo yao bali waliongozwa na Roho Mtakatifu..{Prepared by Pastor P. Chuwa}
We have the honour of speaking to God in prayer. Through Jesus Christ we can come freely to God in prayer at any time..Sisi tuna neema ya kuja kwa Mungu katika maombi kila wakati kupitia Yesu Kristo. {Prepared by Pastor P. Chuwa}
It is by Grace that we are saved through faith not of works, so no man should boast...Tumeokolewa kwa neema kwa njia ya imani si kwa matendo ya sheria ili mtua yeyote asijivunie..{Presented by Pastor P. Chuwa}
Jesus came for all people. He brings physical and spiritual healing for all people...Yesu Kristo alikuja kwa watu wote. Yesu alikuja kuleta haki na kuwa nuru ya kimataifa. {Presented by Pastor P. Chuwa}
Let us be humble and give all the glory to God. Tusiwe na kiburi. Tumheshimu na kumtukuza Mungu. {Presented by Pastor P Chuwa}
In Jesus Christ God reveals Himself to us fully. Yesu Kristo anatunonesha kwa ukamilifu jinsi alivyo Mungu..{Presented by Pastor Chuwa}
God can bring peace and harmony where there are conflicts. Mungu anaweza krejesha amani na upendo pale kwenye chuki na mafarakano. {Presented by Pastor Chuwa}
Jesus is God. He taught with authority which amazed the people...Yesu ni Mungu, ni mwenye mamlaka yote. Yesu alifundisha Neno la Mungu kwa Mamlaka. {Presented by Pastor P. Chuwa}
Jeremiah asks God for guidance and God reminds Jeremiah that nothing is too hard for God. ...Yeremia anaomba msaada kwa Mungu. Mungu alimjibu na kukiri kwamba anaweza kumlinda Yeremia.
We often look on the outward appearance but God sees what is in a person’s heart. Mara nyingi tunajali yaliyonekana nje bila kujua ya ndani ya mtu. {Presented by Pastor P Chuwa}